Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein akisalimiana na Kiongozi wa Watalaamu Mabingwa wa Magonjwa
ya Kichwa, Uti wa Mgongo na
Matibabu ya Maumivu kutoka nchi za Afrika Mashariki Dk.Mahmoud Qureshi
pia Makamu wa Rais wa Taasisi ya Maendeleo ya Mafunzo Upasuaji wa
Mishipa
ya Fahamu alipofika Ikulu Mjini Zanzibar na ujumbe aliofuatana nao
jana.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akizungumza na Ujumbe wa Watalaamu Mabingwa wa Magonjwa ya Kichwa,
Uti wa Mgongo na
Matibabu ya Maumivu kutoka nchi za Afrika Mashariki ukiongozwa na Dk.Mahmoud Qureshi
pia Makamu wa Rais wa Taasisi ya Maendeleo ya Mafunzo Upasuaji wa Mishipa
ya Fahamu ulipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...