Kamanda wa Polisi wa Mkoa
wa Morogoro, Leonard Paulo, akiwaonesha waandishi wa habari ( hawaonekani
pichani) milipuko hatari aina ya ' Water
explosives gel ' iliyokamatwa jana usiku kutoka kwa watuhumiwa tisa waliokuwa wamehifadhiwa ndani ya msikiti wa
Suni uliopo Tarafa ya Kidatu, wilayani Kilombero mkoani Morogoro.
Home
Unlabelled
WATU TISA WALIOHIFADHIWA MSIKITI WA SUNI WAKAMATWA NA MILIPUKO.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hii inatisha sana ishughuikiee kwa mujibu wa sheria.
ReplyDeleteHALI HII SASA INATISHA,LAKINI YOTE HAYA YMECHANGIWA NA UONGOZI KUWASAHAU WAJUMBE WA NYUMBA KUMI.WAKATI ULE TEN CELL LEADERS PLAYED A VERY BIG ROLE KWA USALAMA WA NCHI HII IKIWAMO KUWATAMBUA WANANCHI WAKE.HATA POSHO HAWAKUFIKIRIWA.SASA JE HATA NYUMBA ZA IBADA TUWEKE ULINZI?KILA MUUMINI ASACHIWE?TUTAFIKA?
ReplyDelete