Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, akizungumza na mtoto mwele ulemavu wa ngozi kwenye kituo cha kuwahifadhi cha Buhanginja Mkoani Shinyanga jana
Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Mghwira, katikati akiwa na viongozi wenzake Taifa wakitembelea mabweni kwenye kituo cha Buhanginja Mkoani Shinyanga
Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, akizungumza na watoto walemavu wenye albinism,walemavu wa macho na kusikia waliopo kwenye kituo cha kuwahifadhi cha Buhanginja Mkoani Shinyanga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...