Katika Maisha yetu Wanaadamu Ibada ni Jambo Muhimu saana. Uzuri , Usafi wa sehemu ya kuabudu ni Moja katika mambo mazuri yenye kupendeza katika kila Nafsi ya Binaadamu.
Nyumba hii ya Ibada ama Msikiti huu Ndugu zetu wanafanya Ibada ya Swala 5 kwa siku , Msikiti huu upo Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Mlamleni Kitongoji cha Kimbangulile. Wenzetu wameanza kwa Nguvu zao kwa Ujenzi wa Msikiti huu. Na Jitihada nyengine ni kuwa na Matofali yasiyo pungua 300 kwa Ajili ya kuanza Ujenzi Mpya.
Mambo kutoka kwako ukiwa umeguswa na hili .
Tunaomba MCHANGO WAKO WA VIFAA VYA UJENZI.
Kwa Mwanzo Tunahitaji
1.Cement
2.Tofali
3.mchanga
4.Vifaa vya Kuchimbia Majembe, Panga , chepe N.k
Maazimio yetu tuanze Ujenzi pale tu tutakapo pata uwezo wa kulifanya hili.
Tunawakaribisha mtembelee eneo la tukio kwa wale ambao watakuwa Na Muda.
Michango yenu tunaomba muwasilishe kwa Namba ya Simu.
0715800772( Tigo Pesa ) GHALIB MONERO.
Kwa wale waliopo Nje ya Tanzania : WESTERN UNION : GHALIB NASSOR MONERO
Waliopo KENYA tafadhali wasiliana ALI BAJIY NASOR no' 0725113783.
More Update kuhusu Michango ya Msikiti huu Tafadhali tembelea : facebook : Kijana wa Kiislam Dsm or Whatssap Number : +255689604780
Au Piga Simu : +255715800772
WABILLAHI TAUFIQ WENU KATIKA UTUMISHI WA DINI KATIKA JAMII.
Je kuna shule maeno hayo? Kama hakuna basi tuchangie shule kwanza.
ReplyDelete