Hivi ndivyo hali ilivyo katika hili ni Daraja lilalounganisha eneo la Tandale na Mwananyamala jijini Dar es Salaam, ambapo wananchi wanaokaa maeneo ya jirani na Daraja hilo waliamua kukusanya viroba vilivyosheheni taka ngumu na kuwevilundika kwenye kingo za Daraja hilo ili kudhibiti maji yasiendelee kuchimba njia hiyo. Hali hii imekuja kutokana na mafuriko ya maji yaliyotokea hivi karibuni katika maeneo mengi hapa jijini kutokana na Mvua kubwa zilizokuwa zikinyesha.

Hali ilivyo katika mfereji unaopitisha maji katika eneo hilo baada ya kupitiwa na Mafuriko hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 21, 2015

    Oooohhh no, is this real? I can't imagine how someone can actually live near that mfereji? It is dangerous in all aspects.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 21, 2015

    Umaskini una shida

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 21, 2015

    Na iwe hivyo, mlivyoambiwa msichimbe mchanga kwenye madaraja mliweka pamba masikioni! Hayo ndio matokeo ya ubishi wenu. Ona madaraja mengine kama lugalo, mbezi,kijichi,goba.....watu wanaendelea kuchimba mchanga kama serikali haipo.

    ReplyDelete
  4. sasa hapa diamond ndo angekazia msaada wake aokoe eneo alilokulia au sio.

    ReplyDelete
  5. Miji mingine kandoni mwa maji kama haya unakuta miti na maua na viti kwa watu kupumzikia!! Hapa ni magonjwa tu utapata!!

    Kweli tumeshindwa kujitawala!!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 21, 2015

    Hakuna Mipango hapo, wananchi wanaoishi hapo ni wachafu na serikali pia ya eneohilo/mtaa/kijiji/kata/wilaya/mkoa nayo inaendekeza uchafu. Baada ya 5yrs hapo wasipo chukua hatua maji yatatuama na takataka zitaingia mpaka majumbani kwao. AIBU.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...