Ankal akiwa nje ya ukumbi ambao Bw. David Letterman, mtangazaji maarufu wa CBS ambaye leo anastaafu kazi baada ya miaka 33 jijini New York, Marekani. Huyu bwana ameshahojiana na watu  maarufu karibu wote duniani na kipindi chake cha David Letterman Show hakijapata mfanowe hadi sasa kiasi hata viongozi wa CBS wanajiuliza wafanyeje kumpata mtu kama yeye!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 21, 2015

    Ankal sio kweli Jay Leno alikuwa anamtoa nishani David Letterman kwenye ratings. Ila kila la heri David Letterman kwenye ustaafu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...