Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) Dk Mustafa Ali Garu (kushoto) akitiliana saini ya makubaliano ya Mradi wa Uchimbaji wa Kisima katika maeneo ya Bamani na Mwenyekiti wa Tanzania Youth Icon, Ndg Abdullah Miraji Othman, mradi huo utaharimu shilingi za kitanzania milioni mia tatu, utilianaji wa saini hiyo umefanyika katika Ofisi za ZAWA Mabuluu
MKURUGENZI wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) Dk Mustafa Ali Garu akibadilishana Mikataba  ya makubaliano ya Mradi wa Uchimbaji wa Kisima katika maeneo ya Bomani Unguja na Mwenyekiti wa Tanzania Youth Icon, Ndg. Abdullah Miraji Othman (kulia)  Mradi huo utagharimu shilingi za kitanzania milioni 300. Utilianaji wa saini hiyo umefanyika katika Ofisi za ZAWA Mabuluu.  
Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Zanzibar Mhe. Eng.Hamad Yussuf Masauni akizungumza wakati wa hafla hiyo ya kutiliana saini ya Makubaliano ya Mradi wa Uchimbaji wa Kisima, mradi unaosimamiwa na Tanzania Youth Icon.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 01, 2015

    eeeeeeeh Ankal angalia vizuri hapo juuuuu, umeandika "MAKABIDHIANO YA PUMPU"

    Mdau kutoka mbeya!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 02, 2015

    ndugu mdau ankal yuko sawa hakukosea wewe ndio umekosea kwa kuandika "makabidhiano ya pumbu" soma vizuri ndugu ha ha ha

    mdau,
    shuleni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...