Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu akizungumza na wananchi wa kijiji Chawavuvi Mta wa Chaurembo uliyopo Kurasini baada ya kutokea mwekezaji na kuwa na sinto fahamu ya muda mrefu na kupelekea wananchi kufanya maandamano ya amani hadi Ofisi za Serikali ya Mta huo na kumlazimu Mbunge kuingilia kati mgogoro huo  Dar es Salaam leo (PICHA ZOTE  NA KHAMISI MUSSA)
  Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu  akipitia moja ya mkataba waliyoandikiwa wananchi hao na mwekezaji ambayo wananchi hao hawajaridhishwa, Muhandisi Msaidizi wa Bandari  na kiongozi wa kero za wananchi wa kijiji Chawavuvi Mta wa Chaurembo Kurasini David Mlassi akimweleza mambo fulani mbunge huyo (kushoto)
 Wananchi wa kijiji cha Wavuvi wa Mta wa  Chaurembo wakimsikiliza Mbunge huyo.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 22, 2015

    Ankali,
    Mta wa Chaurembo ndiyo nini sasa? naona ''Mta'' imeruiwa zaidi ya mara nne katika habari hii! Usahihi ni Mtaa wa Chaurembo.

    Mdau
    Lugha ya Kiswahili.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 22, 2015

    mh. Mbunge ukichomekea unapendeza sanaa na kuonekana smart. naomba uendelee hivyo hivyo maana yale mashati makubwa halafu huchomekei huwa unaonekana mkubwaaa . samahani lakini

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...