Deogratias Mongela akiwa na mke wake Elizabeth Sanga wakati wa hafla ya ndoa yao iliyofanyika Hoteli ya Atriums iliyopo Sinza Afrikasana baada ya kufunga ndoa Katika Kanisa la Katoliki, Parokia ya Mbezi Luis Dar es Salaam jana.
Maharusi hao (katikati) wakiwa na wapambe wao kwenye hafla hiyo. Kushoto ni Cobson Nzige na mke wake Subira Nzige (kulia), 'hakika wamependeza si mnawaona'.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eric Shigongo akimpongeza bwana harusi Deogratias Momgela baada ya kuoa. Wengine ni wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eric Shigongo (katikati), akijumuika na wageni waalikwa kwenye hafla hiyo. Kushoto ni Mhariri, Amrani Kaima na Oscar Ndauka wa kampuni hiyo.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Acheni ukatili wa wanyama!
ReplyDelete(Safari hii usibane)