Wajumbe wa Kamati Kuu wa
Baraza la Watoto wakijadili baadhi ya mambo yanayowahusu watoto pamoja na
changamoto zinazo wakabili katika kikao cha
Kamati Kuu ya Baraza la Watoto kilichofunguliwa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na
Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana na viongozi wengine akimsikiliza Mwenyekiti wa Baraza
la Watoto Ameir Haji Khamis
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na
Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana akihutubia kikao hicho
Naibu Waziri wa Maendeleo
ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana (Mb) (katikati) akiwa na
Mwenyekiti wa Baraza la Watoto Ameir Haji Khamis (kushoto) na Muweka Hazina wa
Baraza hilo Haitham Juma (kulia) pamoja na Wajumbe wa Kamati Kuu wa Baraza la
Watoto na Baadhi ya Walezi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...