Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Saidi Meki Sadiki akiweka jiwe la msingi kwaajili ya uzinduzi rasmi wa tawi jipya na la kisasa la NMB Oysterplaza lililopo Oysterplaza jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NMB – Tom Borghols huku meneja wa tawi hilo Donatus Richard akishuhudia. Tawi la NMB Oysterplaza ni maalumu kwa wateja wakubwa na wa kati.Kufunguliwa kwa tawi hilo kunafanya mkoa wa Dar es salaam kufikisha matawi 26 ya NMB.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Saidi Meki Sadiki akikata utepe kuashiria kuzinduliwa rasmi kwa tawi jipya na la kisasa la NMB Oysterplaza lililopo Oysterbay jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NMB – Tom Borghols na kushoto ni Meneja wa tawi hilo - Donatus Richard na Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam – Salie Mlay. Tawi la NMB Oysterplaza ni maalumu kwa wateja wakubwa na wa kati. Kufunguliwa kwa tawi hilo kunafanya mkoa wa Dar es salaam kufikisha matawi 26 ya NMB.
Meneja NMB Kanda ya Dar es Salaam – Salie Mlay akiongea na wateja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...