Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi akisoma hotuba yake kabla ya kufunga rasmi mkutano wa Wadau wa Sekta ya ujenzi nchini uliondaliwa na Bodi ya Wakandarasi nchini CRB ikishirikiana na Bodi ya Wahandisi ERB pamoja na Bodi ya AQRB.
 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akizungummza katika mkutano huo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Makandarasi (CRB) Eng. Consolata Ngimbwa akimkabidi zawadi mgeni rasmi Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi kama ishara ya kutambua mchango wake katika maendeleo ya sekta ya ujenzi nchini
 Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi akimkabidhi cheti cha ushiriki kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe kabla ya kufunga mkutano huo.
 Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Wizara ya Ujenzi
Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi akiwa na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na viongozi wengine akiangaalia moja ya vifaa vya ujenzi katika maonesho ya wadau wa sekta ya ujenzi nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...