Mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano 'Messi" akishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kuipatia timu yake bao la pili.
Beki wa Azam
FC, Agrey Moris akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi
wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa
Taifa jijini Dar es Salaam.
"HADHA MIN FADHLI RABBI" (Hizi ndizo Fadhila zake Mwenyeez Mungu). Kwa vile mmeshinda tu ndo mana umeionyesha, ingelikuwa kinyume na hapo mmhh! Hongereni by the way kwa ushindi.
ReplyDelete