Tanzania College Music Star ni shindano la kutafuta vipaji vya kuimba muziki wa kizazi kipya kwa wanafunzi wa vyuo vikuu Tanzania, Tumeanza na huu mchakato tokea mwezi wa 12 mwaka jana tumefanya audition mara mbili na tukapata top 5 kutoka vyuo vyote jijini mbeya. 
Finali itafanyika wiki hii tarehe 23/05/2015 VibeMaishaClub Mbeya na kutakuwa na special appearance kutoka kwa mtangazaji na mjasiliamali maarufu Tanzania Kutoka Born2shine a.k.a Bdozen 
 Nelson kutoka Mbeya university of science and technology (MUST)
 Dinax Kutoka Teofilo Kisanji University (TEKU)
Kutoka Mzumbe University Mbeya campus

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...