Nasikitika kutangaza kifo cha Mtanzania mwenzetu aitwaye Gertrude Matesh Hodgson. Ambaye alikuwa anakaa katika anuani 37 Cromer Street, Clifton,  York YO30 6DQ 


Marehemu amehifadhiwa katika hospitali ya  Cottingham, huko YORK. 
Ameacha binti mmoja ambae anasoma chuo kikuu hapa UK.

Anategemea kuzikwa hapa hapa UK.

Msaada wa Ushauri na hali unahitajika sana.

Mawasiliano:-

Dada Kissa +447510145626

Mwanamisi 07448755475

Asante sana Mungu na awabariki nyinyi nyote.

Kwa niaba ya ndugu zetu wafiwa  naomba kuwasilisha kwenu account namba kwa msaada wenu watanzania wa UK

Account no:39860655
Sort Code: 56-00-70
Natwest Bank.
Name: Jacqueline E. Josephat

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...