Mfuko wa Maendeleo ya jamii-TASAF kwa ushirikiano na wadau wa Maendeleo wameanza mkutano wiki mbili wa tathmini ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini nchini -PSSN  unaosimamiwa na mfuko huo.

Zifuatazo ni picha zikionyesha wadau hao wa maendeleo na watendaji wa TASAF wakiwa katika kikao cha kupokea taarifa ya utekelezaji iliyowasilishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga katika ukumbi wa mikutani wa Makao makuu ya mfuko huo jijini Dar es Salaam. 
 Baadhi ya wadau wa Maendeleo kutoka Benki ya Dunia na taasisi zingine wakichangia mawazo kufuatia taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini iliyowasilishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga. 
 Baadhi ya watendaji wa TASAF na wadau wa Maendeleo kutoka Benki ya Dunia na taasisi zingine wakisikiliza michango ya mawazo kutoka kwa washiriki kufuatia taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini iliyowasilishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga. 
 Baadhi ya wadau wa Maendeleo kutoka Benki ya Dunia na taasisi zingine wakifuatilia kwa makini uchangiaji mawazo kufuatia taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini iliyowasilishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga 
Baadhi ya wadau wa Maendeleo kutoka Benki ya Dunia na taasisi zingine wakipitia taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini iliyowasilishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...