Watalii wakiwa wamepanda bodaboda kwa mtindo wa mshkaki bila kujali sheria za usalama barabarani maeneo ya sinza Afrikasana, jijini Dar leo mchana.
Mama huyu ambaye jinalake halijapatikana akiwa amepanda bodaboda yeye mtoto wake na mzigo bila ya kujali maisha yatakuwaje endapo watadondoka, huku derevawao akiwa anaendesha pembeni ya barabara maeneo ya Kimara Temboni, jijini Dar leo jioni.  picha zote na Chris Mfinanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 27, 2015

    Hii ni kuvunja sheria na kuwanyima wengine fursa za biashara.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...