Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akijibu maswali bugeni mjini Dodoma, Mei 21, 2015.
Waziri wa Katiba na Sheria,Dkt. Asha Rose Migiro akiwasilisha Makadirio ya Matumizi ya wizara hiyo , bungeni mjini Dodoma Mei 21, 2015.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri MkuuSera Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama akizungumza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, bungeni mjini Dodoma Mei 21, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...