Home
Unlabelled
Video ya mgomo wa madereva wa mabasi ya abiria jijini Dar es salaam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kama madereva ni hao ... ndio maana ajari haziishi...
ReplyDeletehuyo anaye jiita "katibu" kashika kitambaa chenye rangi za bangi
Maoni ya mtu wa mwisho ktk video yanagusa baadhi ya vipengele vilivyomo ktk rasimu ya katiba ya jaji Warioba kuhusu utumishi wa umma, athari ndio hiyo mwananchi wa kawaida kabisa anaizungumzia jinsi inavyogusa umma, kwakweli inasikitisha sana......
ReplyDeleteMuheshimiwa mkuu wa nchi ! Kwanini katika kipindi chako ndio kila jambo laajabu ajabu linatokea? Hawa madereva kipindi cha Mwinyi au Mkapa walikua hawana jeuli kiasihichi ! Tunajua umeisha anza kuaga tiali! Haya mambo ya madereva yasikuchafue ! Yatafutie ufumbuzi wa haraka
ReplyDeleteSerikali ilitafutie ufumbuzi suala la madereva kwani linawagusa wananchi/wasafiri kwa ujumla.
ReplyDelete