Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu (wa tatu kushoto) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Indonesia,Dkt. Aziz Ponary Mlima (wa tatu kulia), Mkurugenzi wa Asia-Australasia, Balozi Mbelwa Kairuki (wa pili kushoto), Afisa wa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje, Bw. Hatibu Makenga (kushoto), Afisa Ubalozi wa Tanzania nchini Indonesia, Bw. Dismass Assenga (wa pili kuliana Bwana Emmanuel Rhobi-Msaidizi wa Waziri, mara baada ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Asia na Afrika uliofanyika mjini Jakarta nchini Indonesia.Mheshimiwa Waziri Dkt. Mary Nagu alimwakilisha  pia Rais Jakaya Kikwete kwenye Mkutano huo.
Kutoka kushoto kwenda kulia Bwana Hatibu Makenga Afisa Mambo ya Nje, Dkt. Aziz Ponary Mlima- Balozi Mteule wa Tanzania nchini Indonesia, Mheshimkwa Mary Nagu-Waziri, Balozi Mbelwa Kairuki- Mkurugenzi Asia-Australasia na Bwana Emmanuel Rhobi- Msaidizi wa Waziri.
Waziri na Timu yake wakiwa kwenye Mkutano.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...