Anasema Mariam Ikoa, mwanamitindo nguli wa Tanzania akiwa n mrembo Lisa Jensen. Anasema: "Najivunia u-Afrika. Vazi kujivika. Stara. Heshima. Hifadhi. Uzuri. Anapatikana katika duka lake namba 5 ghorofa ya kwanza katika jengo la Dar Free Market barabar ya Ali Hassan Mwinyi jirani na ofisi za DSTV jijini Dar es es alaam. Ama katika insta@mariam.ikoa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 13, 2015

    good staff keep up the good work.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...