Makamu wa Rais wa Acacia, Deo Mwanyika (wa pili kushoto waliokaa) akitiliana saini ya Makubaliano na wawakilishi wa halmashauri za Wilaya ya Msalala na halmashauri ya Mji wa Kahama. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Msalala, Patrick Karangwa anaemfuatia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama, Felix Kimaryo. Wanaoshuhudia ni Kamishna Msaidizi wa Madini- Ukaguzi wa Migodi, Ally Samaje (wa kwanza kulia waliosimama) na Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya (wa tatu kutoka kulia- waliosimama).
Makamu wa Rais wa Acacia, Deo Mwanyika (wa pili kushoto waliokaa) akitiliana saini ya Makubaliano (MoU) na wawakilishi wa Halmashauri ya wilaya ya Tarime. Wa kwanza kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tarime, Jeremiah Minja akifuatiwa na Mwenyekiti wa halmashauri ya Tarime, Amos Sagara. Wanaoshuhudia ni Kamishna Msaidizi wa Madini- Ukaguzi wa Migodi, Ally Samaje (wa kwanza kulia waliosimama) akifuatiwa na Mweka hazina wa halmashauri hiyo, Julius Ndyanabo (mwenye shati jeupe).
Kamishna Msaidizi wa Madini- Ukaguzi wa Migodi, Ally Samaje akifafanua jambo kabla ya tukio la utiaji saini ya Makubaliano (MoU) ya ulipaji wa ushuru wa huduma (Service Levy) baina ya Kampuni ya Acacia Mining Limited na halmashauri za wilaya ya Tarime, Kahama na Msalala lililofanyika tarehe 10 mwezi Juni mwaka huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...