Gulio la Airtel Smartphone lililofanyika wiki iliyopita pale Mlimani City wikiendi iliyopita .Baadhi ya Wateja waliofika katika Mlimani City kujipatia Ofa kabambe inayotolewa na Kampuni ya simu ya Airtel na Huawei katika banda la Mlimani City jijini Dar Es Salaam wiki iliyopita. Gulio linalomuwezesha mteja kujishindia zawadi mbali mbali pale anaponunua simu ya Huawei.
Airtel Bazaar Gulio lililoanza wiki iliyopita pale Mlimani City siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili litaendelea tena wiki hii kutoa ofa kabambe za simu za kisasa. Wiki hii Bazaar la Airtel na Huwawei ni pale Kibo Complex Tegeta na Mlimani City kuanzia saa tatu na nusu Asubuhi hadi saa moja usiku siku zile zile za Ijumaa Jumamosi na Jumapili.

Huu ndio wakati wako wewe kujismartifonisha kwa simu kali kwa gharama nafuu ikiambatana na Bando la bure la mwaka mzima la Airtel.

Bazaar hili sio lakukosa kwani linamwaga ofa ambazo huwezi kupata popote zaidi ya Airtel.

Karibuni Kusmatifonika na Airtel

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...