nna lillahi wa Inna ilayhi raaji'oun.
 
Kifo cha ndugu yetu kilichotokea Milton Keynes, UK, bado ndugu zetu hawajafikia malengo ya kufikisha kima kinachotakiwa kukidhi haja zote za maziko na malengo mengine ya kijamii, ya waliomzunguka.

Maziko yanatarajiwa Alhamis ya tarehe 04 June 2015, baada ya kupata mwili kwenye majira ya adhuhuri kutokana na wahusika, in shaa allah.
Kama kuna chochote utakachojaaliwa kutoa kama ni mchango wako, tuma kwenye akaunti ya benki ifuatayo:

Bank: Natwest
Name: Muhammad M. Y.
Account no: 36555673
Sort code: 51-70-14

Reference: Muna
Ni wajib kwetu kumzika ndugu yetu wa Kiislam, kokoyr ulipo jitolee mchango wako.

Marehem ameacha Mke nyumbani Zanzibar, na mtoto wa miezi 8, na Mkewe ni mja mzito tena anatarajia mtoto wa mwingine hivi karibuni.
Allah amghufirie madhambi yake na ampe jannat firdous na aipe subra familia yake, in shaa allah, amen.
Kwa habari zaidi wasiliana na:

Abdallah Mohammed 07716607908 (UK), Mohammed 079501307276 (UK).
Kwa niaba ya wafiwa http://www.salamatrust.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...