nna lillahi wa Inna ilayhi raaji'oun.
Kifo cha ndugu yetu kilichotokea Milton Keynes, UK, bado
ndugu zetu hawajafikia malengo ya kufikisha kima kinachotakiwa kukidhi
haja zote za maziko na malengo mengine ya kijamii, ya waliomzunguka.
Maziko yanatarajiwa Alhamis ya tarehe 04 June 2015, baada
ya kupata mwili kwenye majira ya adhuhuri kutokana na wahusika, in shaa
allah.
Kama kuna chochote utakachojaaliwa kutoa kama ni mchango wako, tuma kwenye akaunti ya benki ifuatayo:
Bank: Natwest
Name: Muhammad M. Y.
Account no: 36555673
Sort code: 51-70-14
Name: Muhammad M. Y.
Account no: 36555673
Sort code: 51-70-14
Reference: Muna
Ni wajib kwetu kumzika ndugu yetu wa Kiislam, kokoyr ulipo jitolee mchango wako.
Marehem ameacha Mke nyumbani Zanzibar, na mtoto wa miezi 8,
na Mkewe ni mja mzito tena anatarajia mtoto wa mwingine hivi karibuni.
Allah amghufirie madhambi yake na ampe jannat firdous na aipe subra familia yake, in shaa allah, amen.
Kwa habari zaidi wasiliana na:
Abdallah Mohammed 07716607908 (UK), Mohammed 079501307276 (UK).
Kwa niaba ya wafiwa http://www.salamatrust.com
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...