Mratibu wa tamasha la michezo na Afya ,Dimo Dembwe (katikati) akiwa ameshikana mikono na waratibu wenzake kama ishara ya umoja wa kufanikisha tamasha hilo. Wakati walipokuwa wakiongea na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa mikutano wa MAELEZO jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni Meneja Utawala wa benki ya CRDB, Leevan Maro,Mwandaaji msaidizi wa Tamasha hilo Fakii Majipino,Rais wa TAFF Simon Mwakifuamba na Mratibu wa Tamasha hilo Josephine Kayombo.Tamasha hilo litafanyika jumapili kwenye viwanja vya Leaders club jijini.
Mratibu wa tamasha la michezo na Afya,Dimo Dembwe akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) Wakati walipokuwa wakitangaza siku maalum ya kufanya tamasha hilo kwenye ukumbi wa mikutano wa MAELEZO jijini Dar es Salaam.Tamasha hilo litafanyika ijumapili kwenye viwanjavya Leaders Club kwa kushirikisha vikundi mbalimbali vya mazoezi jijini Dar es Salaam.Wengingine toka kushoto ni Meneja Utawala wa benki ya CRDB, Leevan Maro, na Mratibu wa Tamasha hilo Josephine Kayombo.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifatilia mkutano wa kutangaza Tamasha la Michezo na Afya uliofanyika Kwenye ukumbi wa Habari Maelezo . Tamasha hilo litafanyika jumapili katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...