Kaimu Mkuu wa Idara ya Wateja Binafsi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Andrew Lyimo (katikati), akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya akaunti za mishahara iliyopewa jina la ‘Mcheza Kwao’ yenye lengo la kuhamasisha wafanyakazi kuchukulia misharahara benki. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Meneja Huduma za Jamii wa benki hiyo, Irene Peter na Meneja Malipo ya Mishahara na Maendeleo, Amos Lyimo.
Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene Peter (kushoto), akizungumza wakati wa hafla hiyo. Kushoto kwake ni Kaimu Mkuu wa Idara ya Wateja Binafsi, Andrew Lyimo na Meneja wa Malipo ya Mishahara na Maendeleo, Amos Lyimo.
Meneja Malipo ya Mishahara na Maendeleo wa Benki ya NBC Tanzania, Amos Lyimo (kulia), akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya akaunti za mishahara iliyopewa jina la ‘Mcheza Kwao’ yenye lengo la kuhamasisha wafanyakazi kuchukulia misharahara benki. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam leo. Kulia kwake ni Kaimu Mkuu wa Idara ya Wateja Binafsi wa NBC, Andrew Lyimo na Meneja Huduma za Jamii wa benki hiyo, Irene Peter.
Baadhi ya waandishi waliohudhuria uzinduzi huo wakisikiliza maelezo kuhusu kampeni hiyo jijini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...