Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 03, 2015

    Hongereni sana marais watarajiwa. Mpaka kwa majina hayo ya kesho, ili CCM ijihakikishie ushindi wa nguvu zidi ya UKAWA itahitaji kumteua kati ya Dr. John Magufuli au Prof. Mark Mwandosya. Mbali na hao, labda tusubiri watakaochukua kesho kutwa. Kama alivyosema Mh. rais, chama kwanza urafiki baadae. Hata kama ulikuwa kampeni meneja wake wakati huo, muda umepita sasa mambo yamebadilika sana. Wakati ule hata Richmond na Escrow hatukuijua, tunahitaji kiongozi mwenye uwezo na uzoefu mkubwa, asiye na kashfa. Vilevile mwingine hata kama umekuwa naibu waziri wa fedha, kashfa ya Escrow inakuhusu pia ripoti ya CAG ya mwezi uliopita imebainisha mapungufu mengi sana katika ulipaji, hiyo yote ni Wizara ya Fedha. Sasa sisi wananchi wa kawaida tutakutofatishaje wewe na yule kampeni meneja wa JK wa mwaka 2005.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...