Mkurugenzi wa Chuo cha Diplomasia, Balozi Dk. Mohamed Maundi akipanda mti wa kumbukumbu katika eneo la chuo hicho ikiwa ni sehemu ya madhimisho ya siku ya mazingira Duniani. (Picha na Francis Dande)
 Mkurugenzi wa Chuo cha Diplomasia, Balozi Dk. Mohamed Maundi akimwagilia maji mti wa kumbukumbu alioupanda katika eneo la chuo hicho ikiwa ni sehemu ya madhimisho ya siku ya mazingira Duniani. 
 Naibu Mkurugenzi wa Mipango Utawala na Fedha wa Chuo cha Diplomasia, Dk. Bernard Achiula akipanda mti wa kumbukumbu wakati wa maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani ambapo walipanda miti na kufanya usafi katika eneo la chuo hicho. 
Rais wa Serikali ya wanafunzi wa Chuo cha Diplomasia, Nice Munissy (kulia) akiwaongoza wenzake kupanda mti ikiwa ni maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...