Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akikagua sehemu ya juu ya Daraja la Kariakoo katika eneo la Ruvu Chini katika barabara ya Bagamoyo-Msata
 Sehemu ya Daraja la Kariakoo katika eneo la Ruvu chini katika mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Bagamoyo-Msata ukiendelea kujengwa.

 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akikagua sehemu ya chini ya daraja la Kariakoo.
 Mkandarasi wa Barabara ya Bagamoyo-Msata kushoto  akitoa maelezo ya Mradi wa Madaraja katika eneo la Ruvu Chini Mkoani Pwani huku Waziri wa Ujenzi Dkt. Magufuli akimsilikiza kwa makini.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akishuka ngazi mara baada ya kufanya ukaguzi wa Daraja la Kariakoo  katika barabara ya Bagamoyo-Msata mkoani Pwani.
Picha kwa Hisani ya Kitengo cha Mawasiliano  Serikalini-Wizara ya Ujenzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 30, 2015

    tumeshaambiwa huyu ni mwalimu. cheza uone.asante ticha kwa ufuatiliaji.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 30, 2015

    This bridge can not take long as such the appointed contractor doesn't seemed to be a professional in his profession therefore urge minister with his technical teaam to ensure to scrutunise this contractor and ensure supriise visit are done. To verify the quality and progress iis done

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 30, 2015

    mungu akubariki Mhe. Magufuli.... piga kazi Watanzania tuko nyuma yako....

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 30, 2015

    Mheshimiwa John Pombe Magufuli Saluti kwake Hili ni Jembe Jamani ndugu zangu Mtu akifanya vizuri mpongezeni tuache wivu na husda kazi zake zinaonekana sasa hivi barabara nyingi za Tanzania mpaka gwinde ndani ndani huko zinapitika mnataka afanye nini huo wote ni wivu tu. Big up Mh. John Pombe Magufuli Mpeni nchi muone kazi yake atavijua Vijiji vyote vya Tanzania kama aliweza kujua mazalia ya samaki baharini yako kiasi gani atashindwa kujua vijiji vya Tanzania. anasifa kibao 1) Mchapa kazi 2)Anauzika 3) Hamuhitaji kampeni 4)hana Longolongo 5) Anayajua majukumu yake mfuatiliaji kwa ujumla Mheshimiwa yuko vizuri Tumpongeze Magufuli yuko vizuri Mungu akusimamie katika safari yako ya Urais Mungu akubariki sana Tunaimani kubwa na Jembe.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 30, 2015

    Mhe. Magufuli Hongera sana chapa kazi watanzania tuko pamoja nawe.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 01, 2015

    Hongera sana Mh. Magufuli kwa kazi nzuri unayoifanya. Kura yangu ya kuingia ikulu unayo. Mawaziri wote wangetimiza wajibu wao kama Magufuli Tanzania ingekua mbali sana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...