Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia Mkutano wa hadhara leo, kwenye Uwanja wa Mashujaa mjini Bukoba, akiwa katika ziara ya kukagua uhai wa Chama na ilani ya Uchaguzi ya CCM.Ndugu Kinana yuko mkoani Kagera kwa ziara ya siku kumi akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na baadhi ya maofisa wa chama hicho
  Mbunge wa Bukoba mjini Hamis Kagasheki (kushoto) akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mashujaa mjini Bukoba mkoani Kagera.
 Wananchi wa mji wa Bukoba mjini na wafuasi wa chama cha CCM wakishangilia jambo wakati Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye pichani katikati alipokuwa akizungumza
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mashujaa mjini Bukoba leo, akiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana mkoani Kagera.
 Mkuu wa Mkoa wa Kagera,Mh.John Mongella akiwasalimia Wananchi na  Wanachama wapenzi wa CCM,kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jioni ya leo katika uwanja wa Mashujaa,mkoani Kagera.

PICHA NA MICHUZI JR-BUKOBA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 07, 2015

    Haya mambo ya kupanda meza hatari, tengenezeni majukwaa imara viogozi wayaatumie.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...