Katibu Mtendaji wa Shirika lisilokua la kiserikali la ANGONET lenye makao makuu jijini Arusha, Petter Bayo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya masuala ya lishe na kuitaka serikali iweke vipaumbele katika lishe ili kutokomeza matatizo ya udumavu na utapiamlo.Katikati ni Mratibu wa Angonet, Petro Ahham na kulia ni Jovitha Mlay Mwanachama wa Shirika hilo.
Mratibu wa Angonet, Petro Ahham akifafanua juu ya Mkakati wa Lishe wa taifa wa July 2011/12 hadi Juni 2015/16 kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani) jana katika mkutano na waandishi juu ya hali ya lishe nchini na namna ya kuhamasisha lishe ili kuondokana na udumavu na utapiamlo. Kushoto ni Katibu Mtendaji wa shirika lisilokuwa la kiserikali (ANGONET), Petter Bayo. Picha na Mahmoud Ahmad

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...