1
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajabu Rutengwe (katikati) akiwa na Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (kulia) wakiwasili kwenye ufunguzi wa kikao cha baraza la wafanyakazi la Wizara wa Fedha lililofanyika leo mjini Morogoro. Kushoto ni Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi wa wizara hiyo ambaye pia ni Katibu Mkuu Dkt. Servacius Likwelile.
2
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya ufunguzi wa kikao cha baraza la wafanyakazi la Wizara wa Fedha lililofanyika leo mjini Morogoro.
3
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajabu Rutengwe akiwakaribisha wajumbe wa baraza la wafanyakazi la Wizara wa Fedha kwenye ufunguzi wa kikao cha kikao cha baraza hilo lililofanyika leo mjini Morogoro.
4
Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi wa wizara ya Fedha ambaye pia ni Katibu Mkuu Dkt. Servacius Likwelile akitoa neno kabla ya ufunguzi wa kikao cha baraza hilo lililofanyika leo mjini Morogoro.
5
Picha ya pamoja ya baadhi ya wajumbe wa Baraza la wafanyakazi wa wizara ya Fedha lililofanyika leo mjini Morogoro.
HABARI ZAINGI INGIA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...