Na Kileo Y
Ijumaa 26 – 06 – 2015 nilishiriki katika mjadala ulio jadili uchumi wa
kidigitali katika kongamano lililo andaliwa na COSTECH ambapo kwa upande wangu
niliangazia uhalifu mtandao unavyoweza kuleta athari kwenye uchumi wetu
ukizingatia sasa miamala mingi ya kifedha imekua ikifanywa kwa msaada wa TEHAMA
( Simu, ATM , Mitandao).
Nilitolea ufafanuzi hali halisi kwa sasa na tuendako huku
nikitolea mfano uchumi wa taifa lolote unavyoweza kuyumbishwa au kudondoshwa
kabisa wa endapo wahalifu mtandao watahujumu TEHAMA zinazotumika kurahisisha
shughuli za kibiashara zinazokuza uchumi wa taifa.
Hapa Nitaangazia mambo kadhaa walau kwa uchache ya kuzingatia
utumiapo mitandao situ wakati wa kufanya miamala ya kibiashara bali nitatolea
na majibu ya maswali ya msingi niliyopata kuulizwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...