Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama, bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2015.
Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe akiwasilisha makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo ya mwaka 2015/2016, Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Ilala na Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azan Zungu, Bungeni mjini Dodoma Juni 5,2015.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...