Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, Bungeni Mjini Dodoma Juni 11, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Nyamagana, Ezekia Wenje, bungeni mjini Dodoma Juni 11, 2015.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Dr. Mary Nagu akiwasilisha taarifa ya hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2014 na Mwelekeo wa mpango wa Maendeleo kwa mwaka 2015/2016 bungeni mjni Dodoma Juni 11, 2015.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...