Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Madaktari wa Kichina waliopo Zanzibar waliofika kumuaga Rais baada ya kumaliza muda wao wa kazi katika Hospitali mbali mbali Unguja na Pemba (wa pili kulia) Balozi Mdogo wa China Nchini Tanzania anyefanyia kazi Zanzibar Mhe,Xie Yunliang.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akiwa katika mazungumzo na Balozi Mdogo wa China Nchini Tanzania anyefanyia kazi Zanzibar Mhe,Xie Yunliang wakati akiongoza ujumbe wa Madaktari wa Kichina waliopo Zanzibar waliofika kumuaga Rais (hawapo pichani) baada ya kumaliza muda wao wa kazi katika Hospitali mbali mbali Unguja na Pemba,[Picha na Ikulu]
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...