Marehemu Bibi Fatma Moh’d Othman Mjumbe wa Bodi ya
Utumishi Serikalini ambae pia ni Mwenyekiti wa Wazazi Wilaya ya Mkoani
Pemba aliyefariki dunia Hospitali ya Muhimbili na kuzikwa Kijijini
kwao Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akijumuika pamoja na waumini wa Dini ya Kiislamu katika kumsalia Bibi Fatma Moh’d Othman aliyefariki Da es salaam juzi na kuzikwa Kijijini kwao Kiwani Wilaya na Mkoani Pemba.
Balozi Seif pamoja na baadhi ya viongozi
wakiwasili makaburini kwa ajili ya Mazishi ya Bibi Fatma Moh’d Othman
hapo Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba.
Mwili wa Marehemu Bibi Fatma ukichukuliwa na
wananchi mbali mbali tayari kuupeleka makaburini mahali alipotengewa maalum kwa kuzikwa.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...