Mkurugenzi  wa Upelelezi  wa  makosa  ya Jinai,(CP) Diwani  Athuman akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Wizara ya mambo ya Ndani juu ya Operesheni  usalama  imetokana na maamuzi  yaliyofikiwa kwenye mikutano ya Wakuu wa Majeshi ya Polisi kati ya Nchi za Kusini  mwa Afrika na Mashariki mwa Afrika  waliokutana  chini ya mwavuli wa (SARPCCO) na (EAPCCO) uliofanyika Johanesburg nchini  Afrika  Kusini.
 Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Upelelezi  wa  Makosa  ya Jinai CP, Diwani  Athumania leo katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya mambo ya ndani jijini Dra es Salaam.
 ( Emmanuel  Massaka,Globu ya Jamii.
  
Mkutano  wa maandalizi kwa ajili ya Operesheni hii ulifanyika kule Pretoria  Afrika  Kusini mnamo tarehe 23-24 April,2015. Wajumbe walikubaliana kufanya  Operesheni ya pamoja na kwa wakati  mmoja Mkutano huo uliamua pia kuwa makosa yafuatayo yapewe kipaumbele, Wizi wa magari, Madawa ya kulevya, Silaha haramu na milipuko, Wahamiaji haramu na biashara haramu ya binadam, Ugaidi , Biashara haramu ya madini, Wizi wa Miundombinu ya Umeme na Nyara za Serikali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...