Ofisa wa Mfuko wa Pensheni PSPF Tawi la Zanzibar Hazina Konde akimkabidhi msaada wa Magogoro Mbunge wa Jimbo
la Chumbuni Zanzibar Mhe Ame Perera kwa ajili ya Wananchi waliopata maafa ya
mvua na kuharibikiwa na mali zao, makabidhiano hayo yamefanyika katika viwanja
vya skuli ya mabanda ya ngome chumbini Zanzibar.
OFISA wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Tawi la Zanzibar Hazina Konde akitowa maelezo kwa niaba ya
Mkufugenzi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi
msaada wa Magodoro kwa wananchi wa Jimbo la Chumbuni waliopata janga la mvua za
masika katika shehia tatu za jimbo hilo, Chumbuni. Karakana na Muembemakumbi
Zanzibar.
Wananchi wa Shehia tatu za Jimbo la Chumbuni Zanzibar
wakimsikiliza Ofisa wa Mfuko wa PSPF Tawi la Zanzibar Bi Zahazia Konde akitowa
maelezo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Mfuko huo kwa wananchi wa Jimbo la Chum,buni
Zanzibar wakati wa kutowa msaada wa magodoro kwa wananchi waliopata maafa ya
mvua hivi karibuni.
PICHA ZAIDI INGIA HAPA
PICHA ZAIDI INGIA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...