Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samwel Sitta (Mb) akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brig. Jen, Mbazi Msuya alipokua akiwasili kwenye viwanja vya Tangamano mjini Tanga wakati wa maonyesho ya Wiki ya Mazingira Duniani Juni 3, 2015
Mkurugenzi wa wa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brig. Jen, Mbazi Msuya Akitoa maelezo ya moja ya DVD ya majanga mbalimbali ya maafa kwa mgeni rasmi Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samwel Sitta alipo tembelea banda la Ofisi ya waziri Mkuu Idara ya Uratibu wa maafa kwenye viwanja vya Tangamano mjini Tanga Juni 3, 2015
Mtaalamu kutoka Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Ali Mwatima akitoa maelezo kwa wanafunzi wa shule ya Darajani mjini tanga walipo tembelea banda la Ofisi hiyo tarehe 3 Juni, 2015 katika maonyesho ya wiki ya Mazingira yanayoendelea katika viwanja vya Tangamano Tanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...