FAMILIA YA ELISA NA ADELITA NYITI WA KILUVYA/KIBAHA TANZANIA WANASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MTOTO WAO EMMANUEL NYITI. KILICHOTOKEA KANSAS CITY USA, SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 06/20/2015.
HISTORIA FUPI YA MAREHEMU
Emmanuel Elisa Nyiti alizaliwa March 21, mwaka 1973 mkoani Dar es Salaam Tanzania kabla ya mauti kumfikia Juni 20 mwaka 2015.
Elimu ya awali aliipata katika shule ya msingi Kibaha na baadaye akajiunga na shule ya sekondari Kibaha kutoka mwaka 1987 mpaka 1990.
Baada ya kumaliza Kidato cha Nne alijiunga na sekondari ya Iliboru, Mkoani Arusha kwa elimu ya Kidato cha Tano na cha Sita. Kutoka mwaka 1991 mpaka 1993 .
Mwaka 1994 Emmanuel alijiunga na chuo cha Ardhi Dar es Salaam na mwaka 2000, Emmanuel alijiunga na Butler Community College Eldorado Kansas, USA.
Mwaka 2002, Emmanuel aliondoka Wichita Kansas na kuhamia Kansas City Missouri mpaka hapo kifo kilipomfika. Emmanuel atakumbukwa na wengi sana kwa ucheshi, upole na ushirikino wake mzuri na Watanzania wenzake .
Kwa Minnesota, tafadhali wasiliana:
Riwa Obel : 952-457-0599
Mchungaji A. Mwalilino: 763-496-9292
Ndaga Mwakabuta: 612 720-1791
Erick Lemunge: 651-398-1861
Amide Mutaboyerwa: 952-200-9743
Soga Mbilima: 612-865-2500
Elia Aswan: 651-325-6882
Jeremiah Balisidya: 763 516 4064
Jackson Molel : 651-334-0163
Kwa Kansas. City Missouri community
Please contact :
John Adhero (316) 644 0828
Dan Muro (913) 980-1116
Maura Limihagati (816) 456-0969
Fred Mwisomba (913) 244-3584
Peter Marara (913) 636-2675
Kwa michango tumia akaunti ifuatayo:
Jina: Ainassa Nyiti
Benki: Wellsfargo
Akaunti #: 396 046 9926
Kwa kweli nimesikitika sana. Emmanuel nilisoma nae Ilboru miaka hiyo. Alikuwa kijana mfupi na maji ya kunde. Ni kweli alikuwa mtu mcheshi mcheshi. Tangu enzi hizo sikupata kuonana naye tena. Nini kimempata katika mwaka wake wa 42 tu? Wana-Ilboru mbona tunaondoka hivi jamani? Mwaka jana nilisoma humu pia kuwa Robert Mshomi kaondoka. Sasa zamu ya Nyiti! Tujiandae jamani. Poleni sana wazazi, ndugu, jamaa na marafiki. Katangulia, sote tutamfuata.
ReplyDeletePoleni sana Ainasa, Frida na mama kwa msiba huu. Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu mno! May the Lord grant eternal peace to our beloved Emmanuel's soul. Rest in Peace Emmanuel!
ReplyDeleteR.I.P kaka Emmanuel
ReplyDelete