Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdalah Kigoda akizungumza wakati wa kumbukumbu ya Kiongozi wa China  wa mkutano uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa BOT jijini Dar es Salaam
 Wajumbe wa mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdallah Kigoda akizungumza mara baada ya kutoka katika mkutano wa kumbukumbu ya kiongozi wa nchini china, aliyeweka uhusiano mzuri kati ya watu wa Tanzania kipindi cha enzi za uhai wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Baadhi ya wajumbe wakiangalia picha iliyopigwa kipindi cha Mwalimu Nyerere.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...