Mneja wa mawasiliano wa Mamlaka ya chakula na dawa (TFDA) Gaudensia Simwanza akiwa na kikombe cha ushindi katika maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma leo katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa TFDA wakiwa katika picha ya pamoja wakifurahia kikombe katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.
wafanyakazi wa TFD wakiwa na vyeti pamoja na vikombe vyao vya ushikndi katika kilele cha maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.PICHA NA EMMENUEL MASSAKA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...