Mkurugenzi Msaidizi wa Rasilimali Watu na Utawala wa HESB Bi. Nuru Sovella akiongea katika hafla ya kufunga mafunzo kwa watumishi wapya wa Bodi hiyo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. George Nyatega.
 Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. George Nyatega akiwa katika picha kumbukumbu na watumishi wapya wa Bodi hiyo mara baada ya kufunga mafunzo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya watumishi wapya wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakifuatilia mafunzo yaliyoandaliwa na HESLB kwa ajili yao mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. 

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...