Kutafuta liziki ni kwa kila mtu ila tofauti ni kwa namna gani jamaa kama alivyokutwa na kamera yetu leo katika eneo la Kinondoni B jijini dar es salaam.
Mjasiliamali akimuuzia mteja wake mara baada ya kuegesha gari lake pembeni kama alivyonaswa na kamera yetu leo katika eneo la kariakoo jijini Dar es Salaam leo.
PICHA NA EMMENUEL MASSAKA,GLOBU YA JAMII
PICHA NA EMMENUEL MASSAKA,GLOBU YA JAMII
Huyo anayevuka kwenye maji yaliyosimama anahatariha afya yake.
ReplyDelete