Shekhe akitowa mawaidha katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Jumuiya ya Waislamu jijini Stockholm, Sweden, leo 
 Sehemu ya waumini wakiwa katika hafla hiyo jijini Stockholm
 Mgeni rasmi katika hafla ya futari hiyo, Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe Dorah Msechu (wa pili kulia) akiwa na sehemu ya waumini waliohudhuria
Mgeni rasmi katika hafla ya futari hiyo, Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe Dorah Msechu, akitoa salamu na shukurani kwa Jumuiya ya Waislamu nchini humo kuandaa futari y pamoja na kudumisha undugu na umoja wa Watanzania katika Diaspora
Baadhi ya wanajumuiya wakifuturu. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...