Maonesho ya bidhaa mbalimbali zinazozalishwa/kutengenezwa kutoka Viwanda Vidogo yaliyoandaliwa na Shirika la Viwanda Vidogo SIDO kanda ya ziwa yanaendelea katika viwanja vya Shycom mjini Shinyanga,watu mbalimbali wanafika kujionea mambo mazuri yanayofanywa na wajasiriamali zaidi ya 200 kutoka ndani na nje ya nchi ya Tanzania.Leo jioni,Juni 01,2015 wakuu wa wilaya za Kishapu na Shinyanga wametembelea mabanda mbalimbali.Kilele cha maonesho hayo ni Juni 02,2015.

Hapa ni katika banda la Chuo cha VETA Shinyanga,wanafunzi wa chuo hicho wakionesha mtambo wa umeme wa jua na Tanesco kwa wakuu wa wilaya ya Kishapu Wilson Nkhambaku na wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro.
Mwanafunzi wa VETA Asha Hamis akitoa maelezo namna ya kufanya shughuli mbalimbali kwa kutumia mitambo hii,hapa chini.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...