Mtangazaji nguli wa Azam Media Charles Hilary (kulia) akiwa na wachezaji nyota wa zamani wa Taifa Stars Omari Zimbwe (kushoto) na Shaaban Katwila walipomtembelea kazini kwake Tabata Relini jijini Dar es salaam 
  Mtangazaji nguli wa Azam Media Charles Hilary (kulia) akiwa na wachezaji nyota wa zamani wa Taifa Stars Omari Zimbwe (kushoto) na Mphamed Hussein "Mmachinga" walipomtembelea kazini kwake Tabata Relini jijini Dar es salaam 

 Mtangazaji nguli wa Azam Media Charles Hilary (kati) akiwa na wachezaji nyota wa zamani wa Taifa Stars Omari Zimbwe (kushoto) na Sunday Manara "Computer" walipomtembelea kazini kwake Tabata Relini jijini Dar es salaam 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...