Mchakato wa Udhamini ukiendelea katika kijiji cha Sagara Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma.
 Dkt. Magufuli akiagana na Wanachama wa CCM katika Kijiji cha Sagara waliojitokeza kumdhamini katika harakati za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea Urais kupitia Tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mkoani Geita Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kulia  akikabidhiwa fomu yenye orodha ya Wadhamini kutoka Kijiji cha Sagara Wilayani Kongwa waliojitokeza kumdhamini katika  mbio za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama hicho kutoka kwa Katibu wa CCM Wilayani Kongwa 
 Dkt. Magufuli akisalimiana na wana Kongwa mara baada ya kupata wadhamini katika Wilaya hiyo Mkoani Dodoma. 
Dkt. Magufuli akisalimiana na wana Kongwa mara baada ya kupata wadhamini katika Wilaya hiyo Mkoani Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...