Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mwamini Malemi wa nne kutoka kulia  akiwa pamoja na Wakuu wa Taasisi zote za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi waliohudhuria Kikao Kazi cha Utayarishaji wa Mpango wa Manunuzi wa wizara wa mwaka 2015/2016 kilichoanza leo katika hoteli ya Oasis mjini Morogoro, watatu kutoka kushoto ni Kamishna wa Lojistiki na Fedha wa Jeshi la Polisi Clodwig Mtweve, wa pili kushoto ni Kamishna wa Fedha wa Jeshi la Magereza Sanga, waliosimama nyuma ni baadhi ya Wakurugenzi Wasaidizi wa wizara, Maafisa Bajeti pamoja na Maafisa Ununuzi wa wizara .
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mwamini Malemi akisalimiana na Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Edwin Makene baada tu ya kupokelewa na Mkurugenzi wa Kitengo cha Manunuzi cha wizara hiyo Manyama Mapesi akielekea kufungua Kikao Kazi cha Utayarishaji wa Mpango wa Manunuzi wa wizara wa mwaka 2015/2016 kilichoanza leo katika hoteli ya Oasis mjini Morogoro.
 Sehemu ya wajumbe wa Kikao Kazi cha Utayarishaji wa Mpango wa Manunuzi wa Wizara ya Mambo  ya Ndani ya Nchi wa mwaka 2015/2016  kinachowahusisha Maafisa Bajeti, Manunuzi, Wakurugezi, Wakurugenzi Wasaidizi na Wakuu wa Taasisi zote za wizara hiyo kilichoanza leo katika hoteli ya Oasisi mjini Morogoro , wa kwanza kushoto  ni Mkurugenzi wa Idara ya Sheria na Usajili wa Vyama Marlin Komba, anayefuatia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Sera na Mipango Joyce Momburi na Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokaoji Maria Kulaya.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mwamini Malemi akisoma hotuba yake wakati akifungua Kikao Kazi cha Utayarishaji wa Mpango wa Manunuzi wa Wizara ya Mambo  ya Ndani ya Nchi wa mwaka 2015/2016  kinachowahusisha Maafisa Bajeti, Manunuzi, Wakurugezi, Wakurugenzi Wasaidizi na Wakuu wa Taasisi zote za wizara hiyo kilichoanza leo katika hoteli ya Oasisi mjini Morogoro.
 Kamishna wa Lojistiki na Fedha wa Jeshi la Polisi Clodwig Mtweve akitoa Neno la Shukrani kwa niaba ya Wajumbe wote wa Kikao Kazi cha Utayarishaji wa Mpango wa Manunuzi wa Wizara ya Mambo  ya Ndani ya Nchi wa mwaka 2015/2016 baada ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mwamini Malemi kufungua Kikao Kazi hizo katika hoteli ya Oasisi mjini Morogoro, wa kwanza kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Manunizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Manyama Mapesi.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mwamini Malemi wa nne kutoka kulia  akiwa pamoja na Wakuu wa Taasisi zote za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi waliohudhuria Kikao Kazi cha Utayarishaji wa Mpango wa Manunuzi wa wizara wa mwaka 2015/2016 kilichoanza leo katika hoteli ya Oasis mjini Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...